Mpya

Simba yarejea mazoezini kuiwinda Mighty Wonderers

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
9 Sep 2026
Simba yarejea mazoezini kuiwinda Mighty Wonderers

Baada ya mapumziko ya siku moja, kikosi cha Simba leo kinarejea mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Mighty Wonderers.

Jumapili Septemba 13 Simba itakuwa mwenyeji wa Mighty Wonderers katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Kikosi cha kocha Steve Barker kimedhamiria kumaliza kazi iliyobaki dimba la Uhuru baada ya ushindi wa bao 1-0 ugenini.

Simba inahitaji ushindi au matokeo yoyote ya sare ili kufuzu raundi ya kwanza.

More Stories

Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
29m ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
3h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
6h ago
READ MORE β†’
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
15h ago
READ MORE β†’
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
1d ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
1d ago
READ MORE β†’
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
1d ago
READ MORE β†’
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
1d ago
READ MORE β†’
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
1d ago
READ MORE β†’