Mpya

Kuzishuhudia Simba vs Mighty Wonderers kiingilio buku tano

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
9 Sep 2026
Kuzishuhudia Simba vs Mighty Wonderers kiingilio buku tano

Kuelekea mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika (CAFCL) kati ya Simba dhidi ya Mighty Wonderers, viingilio vya mchezo huo vimetangazwa.

Jumapili Septemba 13 dimba la Uhuru litawashuhudia mashabiki wa Simba wakiujaza uwanja huo katika mchezo ambao Wekundu wa Msimbazi watakuwa wakisaka matokeo ya ushindi ili kutinga raundi ya kwanza.

Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na faida ya ushindi wa bao 1-0 waliopata ugenini, Malawi.

More Stories

Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
29m ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
3h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
6h ago
READ MORE β†’
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
15h ago
READ MORE β†’
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
1d ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
1d ago
READ MORE β†’
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
1d ago
READ MORE β†’
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
1d ago
READ MORE β†’
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
1d ago
READ MORE β†’