Mpya

Kibabage ameanza mazoezi mepesi

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
1d ago
Kibabage ameanza mazoezi mepesi

Mlinzi wa kushoto wa Simba Nickson Kibabage ameanza mazoezi mepesi ikiwa ni hatua muhimu kuelekeaa kuimarisha majeraha aliyopata.

Kibabage alipata majeraha ya nyama za paja katika mguu wake wa kulia kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kagera Sugar.

Tayari amekosekana uwanjani kwa takribani wiki tatu lakini sasa akianza hatua muhimu ya kuimarika kabla ya kurejea tena uwanjani.

Kibabage ameungana na Abdulrazak Hamza na Wilson Nangu ambao pia wanaendelea na program maaum za mazoezi kabla ya kurejea rasmi kwenye majukumu yao.

Nangu na Hamza wamekosekana kwa takribani msimu mzima sasa baada kupata majeraha ambayo yalipelekea wafanyiwe upasaji.

More Stories

Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
Simba yakamilisha maandalizi dimba la Uhuru
4h ago
READ MORE β†’
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
Libasse ameweka kabatini tuzo ya kwanza ya ligi kuu msimu huu
6h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
Mighty Wonderes wawasili Dar usiku
10h ago
READ MORE β†’
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
Makgalwa ajipa muda zaidi Simba
11h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
Magazeti ya leo Ijumaa, Septemba 11 2026
14h ago
READ MORE β†’
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
Mighty Wonderers kutua nchini leo, Simba yawaandalia dozi
1d ago
READ MORE β†’
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
Chama apotezea kelele za mitandaoni, aweka msimamo
1d ago
READ MORE β†’
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
Oura anaamini huu utakuwa msimu bora kwa Simba
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
Magazeti ya leo Alhamisi, Septemba 10 2026
1d ago
READ MORE β†’