Kikosi cha Simba kimekamilisha maandalizi kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Mighty Wonderers.
Mchezo huo wa mkondo wa pili utapigwa kesho Jumapiili kwenye uwanja wa Uhuru saa 10 jioni.









Kikosi cha Simba kimekamilisha maandalizi kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Mighty Wonderers.
Mchezo huo wa mkondo wa pili utapigwa kesho Jumapiili kwenye uwanja wa Uhuru saa 10 jioni.








