Mpya

Simba sasa kuikabili FC 15 de Agosto raundi ya kwanza

Mwana Msimbazi By Mwana Msimbazi
β€’
2d ago
Simba sasa kuikabili FC 15 de Agosto raundi ya kwanza

Klabu ya Simba SC, sasa itachuana na miamba ya Guinea ya Ikweta, FC 15 de Agosto, katika hatua ya pili ya mchujo ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL).

Hatua hiyo inakuja baada ya miamba hiyo ya Msimbazi kupita kwa kishindo katika hatua ya kwanza, kufuatia ushindi mnono wa jumla wa mabao 7-1 dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi.

Simba ilianza kwa ushindi wa ugenini wa bao 1-0 nchini Malawi kabla ya kuushindilia msumari wa mwisho mbele ya mashabiki wao nyumbani kwa kishindo cha mabao 6-1.

Wapinzani wao FC 15 de Agosto, wametinga hatua hii baada ya kuiondoa Fomboni FC ya Comoro kwa jumla ya mabao 4-0.

Mshindi wa jumla atajihakikishia nafasi ya moja kwa moja kuingia kwenye hatua ya makundi ya michuano hiyo mikubwa zaidi kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.

Mechi za raundi ya kwanza zinatarajiwa kupigwa Oktoba 15-18 2026.

More Stories

Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
Karibu Azam Complex kwenye show za Libasse Gueye
30m ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
Mzizima Derby; Azam Fc vs Simba leo
3h ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
Magazeti ya leo Jumatano, Septemba 16 2026
6h ago
READ MORE β†’
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
Maandalizi ya kuikabili Azam Fc yamekamlika
15h ago
READ MORE β†’
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
Hatuhitaji kupoteza mchezo dhidi ya Azam Fc - Barker
1d ago
READ MORE β†’
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
Mzizima Derby haijawahi kuwa nyepesi
1d ago
READ MORE β†’
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
Kituo kinachofuata ni MZIZIMA DERBY
1d ago
READ MORE β†’
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
Magazeti ya leo Jumanne, Septemba 15 2026
1d ago
READ MORE β†’
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
Doumbia bado kidogo, Mgunda akosha mashabiki
1d ago
READ MORE β†’
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
Tulitaka kutuma ujumbe Afrika - Ahmed
1d ago
READ MORE β†’