Senegal mabingwa CHAN 2023

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th February 2023


Senegal mabingwa CHAN 2023

Timu ya Taifa ya Senegal usiku wa kuamkia leo ilifanikiwa kutwaa taji la Michuano ya CHAN baada ya kuichapa Algeria kwa mikwaju wa penati 5-4 kufuatia matokeo ya suluhu ya bila kufungana

Algeria wenyeji wa michuano hiyo inayoshirikisha wachezaji wanaocheza soka la ndani, itabidi wailaumu wenyewe kwa kushindwa kutumia vyema nafasi nyingi walizotengeneza

Senegal sasa wanashikilia mataji yote mawili ya Mataifa barani Afrika kwani pia ndio mabingwa wa michuno ya AFCON


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.