CAF - Yanga - Simba

CAF yaruhusu mashabiki Ligi ya Mabingwa, Shirikisho

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Feb 2023
CAF yaruhusu mashabiki Ligi ya Mabingwa, Shirikisho

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeziruhusu klabu zinazoshiriki hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa na kombe la Shirikisho kuruhusu mashabiki kuingia viwanjani katika mechi zao

Kulingana na taarifa iliyotolewa na CAF, hakuna kiwango elekezi kwa mashabiki kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita

Ni baada ya Shirikisho hilo kujiridhisha nchi za barani Afrika zimefanikiwa katika udhibiti wa maambukizi ya virusi vya corona

Hii ni habari njema kwa klabu za Tanzania Simba na Yanga ambazo zinashiriki hatua ya makundi ya michuano hiyo

Simba inacheza ligi ya mabingwa ambapo mchezo wake wa kwanza nyumbani ni Februari 18 dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco wakati Yanga wanacheza kombe la Shirikisho mechi yao ya kwanza nyumbani ni dhidi ya TP Mazembe Februari 19

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’