Newcastle - Chelsea

Atsu aokolewa akiwa hai

Joel JJ By Joel JJ
7 Feb 2023
Atsu aokolewa akiwa hai

Nyota wa Ghana Christian Atsu ambaye alikuwa haonekani baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi nchini Uturuki amepatikana akiwa hai

Ni baada ya juhudi za ukoaji kufanyika. Atsu amepelekwa hospitali kwa matibabu zaidi akipata majeraha kwenye mguu wake wa kulia na pia anasumbuliwa na matatizo ya kupumua.

Pia mkurugenzi wa ufundi wa klabu ya Hatayaspor ambayo Atsu anaitumikia, Tamer Savut nae amepatikana akiwa hai.

Atsu ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Ghana akiwa pia amewahi kuzitumikia klabu za Chelsea na Newcastle United zinazoshiriki ligi kuu ya Uingereza

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
2h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
2h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →