Michuano ya Super Cup inatarajiwa kuanza mwezi August 2023 wakati huu Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kushirikiana na FIFA wakiendelea na maandalizi ya michuano hiyo
Klabu ya Simba imewapokea maofisa kutoka CAF waliotua kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa maandalizi ya michuano hiyo
Simba ni moja ya klabu ambazo zitashiriki michuano hiyo ambayo itafanyika baadae mwaka huu
