Yanga - Simba

Raja yatua, Mazembe kutua leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Feb 2023
Raja yatua, Mazembe kutua leo

Wapinzani wa Simba mchezo wa ligi ya mabingwa, Raja Casablanca iliwasili nchini mapema leo kuelekea mchezo wa pili kundi C ambao utapigwa Jumamosi, Februari 18 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Raja vinara wa kundi C baada ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Vipers, waliondoka Morocco jana wakipitia Doha Qatar na moja kwa moja kuunganisha nchini

Timu hiyo haikuweka wazi ujio wao kwa wenyeji wao klabu ya Simba iliyothibitisha Raja hawakuwapa taarifa juu ya siku ambayo watawasili

Nayo klabu ya TP Mazembe kutokea DR Congo imeanza safari kuja jijini Dar kwa ajili ya mechi ya pili hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga

Mazembe ni kinara wa kundi D akiwa na pointi 3 baada ya kushinda mabao 3-1 dhidi ya Real Bamako atakutana na Yanga ambaye anasaka alama 3 katika kundi hilo baada ya mechi ya kwanza kuambulia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa US Monastir ya Tunisia

Mechi hiyo itapigwa Jumapili Februari 19 saa 1 usiku.

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’