Yanga

Hersi afunguka kuhusu Morrison

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Feb 2023
Hersi afunguka kuhusu Morrison

Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema mchezaji Bernard Morrison alipata majeraha wakati akiitumikia klabu hiyo hivyo ni wajibu wao kumuhudumia

Hersi amesema inawezekana Yanga bado haijanufaika na mchezaji huyo ambaye analipwa fedha nyingi lakini hawawezi kukwepa wajibu wao

"Bernard Morrison analipwa fedha nyingi, uzoefu wake ni mkubwa kwenye mashindano ya Kimataifa anaweza kuwa mchango mkubwa sana"

"Yanga imemrudisha kwenye msimu huu ile 'impact' ambayo watu walikuwa wakiitegemea haijatokea hapo sasa ndio suala la mkataba linapokuja"

"Mchezaji ana mkataba na unatakiwa kuuheshimu. Atalipwa awe anacheza au hachezi. Mchezaji ameumia lakini wakati anasajiliwa alikuwa mzima"

"Ameumia wakati akiitumikia Yanga. Mchezaji akiumia hawezi kucheza. Hiyo haiepukiki, Morrison sisi kama Yanga tunamuhudumia na huu ndio uungwana ambao Yanga tunao"

"Na tunamuhudumia kuhakikisha anakuwa bora kuelekea mwisho wa msimu au kwenye future ya kipaji chake. Alipata majeraha na tulimpeleka Tunisia," alisema Hersi

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’