Yanga - KMC

KMC uso kwa uso na Yanga kwa Mkapa Jumatano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Feb 2023
KMC uso kwa uso na Yanga kwa Mkapa Jumatano

Kesho Jumatano Februari 22 KMC itakuwa mwenyeji wa Yanga katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

KMC wametangaza viingilio vya mchezo huo utakaopigwa saa 10 jioni. VIP A ni Tsh 15,000/-, VIP B ni Tsh 10,000/- na Mzunguuko ni Tsh 5,000/-

Ni mechi muhimu kwa kila timu KMC wakihitaji ushindi ili kujiondoa kwenye hatari ya kushuka daraja wakati Yanga inataka kushinda ili kuendeleza ubabe wake kwenye ligi wakiwa pia wanawania kutetea ubingwa wao kwa msimu wa pili mfululizo

Ni wazi, hautakuwa mchezo mwepesi kwa KMC kwani wanakutana na Yanga ambayo imetoka kuigaraza TP Mazembe mabao 3-1 katika mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
36m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
48m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’