Yanga - Simba - Azam

Uwanja wa Mkapa wafungwa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Feb 2023
Uwanja wa Mkapa wafungwa

Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Ally Mayay amethibitisha kufungwa kwa uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya maboresho

Mayay amesema Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeagiza kufanyika maboresho makubwa kwa uwanja huo ambao utatumika kwenye michuano ya Africa Super League inayotarajiwa kuanza msimu ujao

Mayay amefafanua kuwa klabu za Simba na Yanga ambazo zinashiriki michuano ya ligi ya mabingwa na kombe la Shirikisho zitaendelea kutumia uwanja huo katika mechi zao za hatua ya makundi

Pia timu ya Taifa 'Taifa Stars' itatumia uwanja katika mechi za kuwania tiketi ya michuano ya Afcon ikitarajiwa kucheza na Uganda mwezi Machi 2023

Uwanja huo hautatumika kwa mechi za ligi kuu, FA ili kupisha maboresho hayo

Uwanja utafunguliwa baada ya awamu ya pili ya ukaguzi wa CAF ambao utafanyika mwezi May 2023

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
40m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
52m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’