Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa motisha kwa klabu za Yanga na Simba ili kuhakikisha zinafanya vizuri katika michuano ta CAF wanayoshiriki
..... download Xtra 90 App



