Soyuncu kutua Atletico Madrid bure

Joel JJ By Joel JJ β€’ 1st March 2023


Soyuncu kutua Atletico Madrid bure

Atletico Madrid imefikia makubaliano ya masharti binafsi ya kumsajili bure mlinzi wa kati wa Leicester City, Caglar Soyuncu (26)

Mkataba wa Soyuncu na Leicester City unamalizika mwisho wa msimu huu na nyota huyo hataongeza mwingine

Liverpool ilikuwa na nia ya kumsajili pia raia wa Uturuki mwisho wa msimu lakini dili hilo limeota mbawa na sasa ataelekea Uhispania mwisho wa msimu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.