Atletico Madrid imefikia makubaliano ya masharti binafsi ya kumsajili bure mlinzi wa kati wa Leicester City, Caglar Soyuncu (26)
Mkataba wa Soyuncu na Leicester City unamalizika mwisho wa msimu huu na nyota huyo hataongeza mwingine
Liverpool ilikuwa na nia ya kumsajili pia raia wa Uturuki mwisho wa msimu lakini dili hilo limeota mbawa na sasa ataelekea Uhispania mwisho wa msimu



