Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetupilia mbali shauri la Mapitio (Review) ya mchezaji Feisal Salum dhidi ya klabu ya Yanga kwa kuwa halina msingi wa kisheria kubadilisha maamuzi ya Kamati hiyo juu ya mkataba wake na Yanga




