Liverpool watakuwa mstari wa mbele katika kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Uingereza Mason Mount msimu huu wa joto, ikiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 hataweza kuafiki mkataba mpya Stamford Bridge. (Mail)
..... download Xtra 90 App



