Yanga

Real Bamako watua kuikabili Yanga Shirikisho

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Mar 2023
Real Bamako watua kuikabili Yanga Shirikisho

Msafara wa timu ya Real Bamako umewasili Dar kuelekea mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumatano, March 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Bamako wametua usiku wa kuamkia leo huku wakitamba kuwa wamekuja kuishangaza Yanga

Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Mali wiki iliyopita, ulimalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1

Matokeo hayo yaliendelea kuiweka Yanga kwenye nafasi ya pili katika msimamo wa kundi D ikiwa na alama nne

Real Bamako wako mkiani wakiwa na alama mbili ambazo zote walizipata kwenye uwanja wao wa nyumbani kwa kulazimishwa sare dhidi ya US Monastir na Yanga

TP Mazembe wanashika nafasi ya tatu wakiwa na alama tatu wakati US Monastir wanaongoza kundi wakiwa na alama saba

Wakati Yanga ikichuana na Real Bamako Dar, US Monastir watakuwa wakichuana na TP Mazembe huko Tunisia

Kama Yanga itashinda na TP Mazembe kupoteza, basi Yanga itahitaji kushinda mchezo utakaofuata dhidi ya US Monastrir ili kutinga robo fainali

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’