Mbeya City na Azam Fc zimekuwa timu za mwisho kuhitimisha timu zilizofuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)
Mbeya City waliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar wakati Azam Fc wameichapa Mapinduzi Fc mabao 2-0
timu hizo zimeungana na Simba, Yanga, Singida BS, Mtibwa Sugar, Geita Gold na Ihefu Fc ambazo zilitangulia kutinga hatua hiyo



