Real Madrid wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Manchester City na Norway Erling Haaland, 22, msimu wa joto kama sehemu ya mpango wa kuleta kizazi kipya cha nyota wachanga ambao pia ni pamoja na kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na Uingereza Jude Bellingham, 19. (Independent).
..... download Xtra 90 App



