Rashford, Ten Hag washinda tuzo za Februari EPL

Joel JJ By Joel JJ • 10th March 2023


Rashford, Ten Hag washinda tuzo za Februari EPL

Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Februari wa ligi kuu ya Uingereza

Rashford ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu, msimu huu akiwa ameshinda mwezi Septemba, Januari na sasa Februari 

Nae Meneja wa Manchester United, Eric Ten Hag ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi Februari katika Ligi Kuu ya Uingereza

Ten Hag ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya pili msimu huu baada ya kuchukua tuzo ya mwezi Septemba 2022 pia


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.