Manchester United

Rashford, Ten Hag washinda tuzo za Februari EPL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Mar 2023
Rashford, Ten Hag washinda tuzo za Februari EPL

Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Februari wa ligi kuu ya Uingereza

Rashford ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu, msimu huu akiwa ameshinda mwezi Septemba, Januari na sasa FebruariΒ 

Nae Meneja wa Manchester United, Eric Ten Hag ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi Februari katika Ligi Kuu ya Uingereza

Ten Hag ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya pili msimu huu baada ya kuchukua tuzo ya mwezi Septemba 2022 pia

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
21h ago
READ MORE β†’