Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema wanawasiliana na Matawi ya klabu ya Yanga mikoani kuandaa utaratibu wa kusafiri kuja jijini Dar es salaam kushuhudia mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya US Monastir ambao utapigwa Jumapili March 19 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



