Kocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa timu hiyo haijafungiwa kusajili madirisha matatu na Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kwa kosa la kuchelewa kumlipa madai yake kama ilivyoripotiwa na chombo kimoja cha habari mapema leo
..... download Xtra 90 App



