Yanga

Yanga kuisaka robo fainali mbele ya US Monastir leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Mar 2023
Yanga kuisaka robo fainali mbele ya US Monastir leo

Baada ya kuwashuhudia watani zao Simba wakitinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika kibabe kwa ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Horoya Ac, leo ni zamu ya Wananchi Yanga ambao wanashiriki michuano ya kombe la Shirikisho

Yanga itashuka uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili US Monastir katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali

Yanga wanahitaji ushindi ili kutinga robo fainali kuweka rekodi yao mpya katika michuano hiyo

Hii ni mara ya tatu kwa Yanga kucheza hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho lakini mara mbili ilishindwa kupenya robo fainali

Msimu huu Yanga imeonyesha ubora na kwa hakika Wananchi watajilaumu wenyewe kama watashindwa kutinga robo fainali

Wanahitaji kukata tiketi yao mapema ili uondoa presha katika mchezo wa mwisho ambao watakuwa ugenini dhidi ya TP Mazembe

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema kikosi chake kiko tayari akiwataka mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa leo kuishangilia timu yao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’