Transfer

Tetesi za soka Ulaya, Jumatatu March 20 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Mar 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumatatu March 20 2023

Aston Villa wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 29, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo huko Inter Milan akitokea Chelsea. (Todo Fichajes – in Spanish)

Manchester United wako tayari kumuuza nahodha na beki wa kati wa England Harry Maguire, 30, na mlinzi wa Uswisi Victor Lindelof, 28, msimu huu. (Football Insider)

Meneja Jurgen Klopp anataka Liverpool kumpa kiungo mkongwe wa Uingereza James Milner, 37, mkataba mpya. (Football Insider)

Chelsea wana nia ya kumnunua kipa wa Inter Milan na Cameroon Andre Onana, 26, msimu wa joto. (InterLive, via Fichajes - in Spanish)

Arsenal wanataka kumsajili beki wa kulia wa Galatasaray Mfaransa Sacha Boey, 22. (Aksam - in Turkish)

Kiungo mshambuliaji wa Ujerumani Marco Reus, 33, anataka kusalia Borussia Dortmund, ambako ni nahodha, hadi mwisho taaluma yake . (Sky Germany - in German)

Chelsea na Newcastle wote wanamfuatilia mshambuliaji wa zamani wa Manchester City Brahim Diaz. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa yuko kwa mkopo huko AC Milan kutoka Real Madrid lakini anaweza kupatikana mwishoni mwa msimu huu. (Sun)

Tottenham wanaweza kufufua nia yao ya kumnunua beki wa kati wa Napoli na Korea Kusini Kim Min-jae, 26, msimu huu. (Football Insider)

Everton watamnunua mshambuliaji wa West Ham kutoka Jamaica Michail Antonio, 32, msimu wa joto, iwapo wataepuka kushushwa daraja. (Sun)

Kiungo wa kati wa Ghana Mohammed Kudus, 22, anatumai kusalia Ajax hadi mwisho wa msimu huu licha ya Manchester United, Arsenal na Liverpool kumtaka. (De Telegraaf, via 90min)

Besiktas wanajiandaa kuanzisha kipengee cha kununu kununua katika mkataba wao wa mkopo wa beki wa West Ham kutoka Congo Arthur Masuaku, 29. (Fanatik, via Inside Futbol)

Kocha wa zamani wa Everton Frank Lampard yuko tayari kwa nafasi yake nyingine ya ukocha, karibu miezi miwili tangu atimuliwe na The Toffees. (Sun)

BBC

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’