Barcelona - Real Madrid

Barcelona yaichapa Real Madrid 2-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Mar 2023
Barcelona yaichapa Real Madrid 2-1

Barcelona wamepiga hatua kubwa kuelekea ubingwa wa Liga baada ya Franck Kessie kufunga bao la ushindi dakika za lala salama na kuizamisha Real Madrid 2-1 kwenye El Clasico usiku wa kuamkia leo

Real Madrid walitangulia kufunga baada ya Araujo kujifunga katika harakati za kuokoa krosi ya Vinicius Junor lakini Sergio Roberto akaisawazishia Barcelona kabla ya mapumziko

Real Madrid walifunga bao la pili dakika 10 kabla ya mchezo kumalizika lakini maamuzi ya VAR yalifuta bao hilo mfungaji Asensio akiwa ametokea eneo la kuotea

Ulikuwa mchezo ambao Barcelona walionyesha kuzitaka alama zote tatu, walitengeneza nafasi nyingi kuliko wapinzani wao

Ni ushindi ambao unaiweka Fc Barcelona kileleni mwa msimamo wa La Laiga kwa tofauti ya alama 12 dhidi ya Real Madrid inayoshika nafasi ya pili

Barcelona wamekusanya alama 68 katika mechi 26 wakati Real Madrid wana alama 56

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’