Msafara wa pili wa wachezaji Stars watua Misri

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st March 2023


Msafara wa pili wa wachezaji Stars watua Misri

Wachezaji nane waliochelewa kujiunga na timu ya Taifa huko Misri kutokana na sababu mbalimbali, wamewasili nchini humo kuungana na wenzao kuelekea mchezo dhidi ya Uganda

Msafara uliotua usiku wa kuamkia leo umejumuisha wachezaji saba wa Yanga na Mzamiru Yassin wa Simba naliyekuwa na ruhusa maalum

Nyota wa Yanga waliotua ni Metacha Mnata, Kibwana Shomari, Dickson Job, Bakari Nondo Mwamnyeto, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Feisal Salum


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.