Crystal Palace kumrejesha Hodgson

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st March 2023


Crystal Palace kumrejesha Hodgson

Klabu ya Crystal Palace inatarajiwa kumteua Roy Hodgson kuwa Kocha Mkuu kuchukua nafasi ya Patrick Vieira

Hodgson, 75, amekubali masharti ya mkataba wa muda mfupi utakaotumika hadi mwisho wa msimu huu

Crystal Palace wataangalia kocha wa muda mrefu mwishoni mwa msimu, na watachukua muda kufanya uamuzi bora zaidi

Palace walimtimua Vieira mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuitumikia timu hiyo kwa miezi 18


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.