Klabu ya Crystal Palace inatarajiwa kumteua Roy Hodgson kuwa Kocha Mkuu kuchukua nafasi ya Patrick Vieira
Hodgson, 75, amekubali masharti ya mkataba wa muda mfupi utakaotumika hadi mwisho wa msimu huu
Crystal Palace wataangalia kocha wa muda mrefu mwishoni mwa msimu, na watachukua muda kufanya uamuzi bora zaidi
Palace walimtimua Vieira mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuitumikia timu hiyo kwa miezi 18



