Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba, Salum Abdallah 'Try Again' amesema kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni moja ya malengo yao na kusisitiza wanaelekea kufikia hatua waliyokuwa wanaitamani miaka mingi yaani nusu fainali
..... download Xtra 90 App



