Transfer

Tetesi za soka Ulaya, Jumatano March 22 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Mar 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumatano March 22 2023

Manchester United imedhamiria kumnunua beki wa kati wa Monaco Axel Disasi, 25. (Mail)

Sheikh Jassim bin Hamad Al-Thani yuko tayari kuongeza ombi lake la kuinunua Manchester United kwa hadi £5.5bn. (The Mirror)

United na Liverpool wanaongoza Barcelona katika mbio za kumnunua kiungo wa kati wa Wolves na Ureno Ruben Neves, 26, msimu huu. (Football Insider)

Wachezaji wa Tottenham wamekuwa wakiwasiliana na meneja wa zamani Mauricio Pochettino kuhusu uwezekano wa kurejea katika klabu hiyo. (Sky Sports)

Mshambulizi wa Chelsea na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 33, anaweza kurejea Barcelona kama chaguo la bei ya chini miezi 12 tu baada ya kuhamia Stamford Bridge. (Mundo Deportivo – In Spanish)

Chelsea wanaweza kumwachilia Aubameyang kutoka katika mkataba wake msimu huu wa joto. (Sport – In Spanish)

Paris St-Germain ndio klabu ya hivi punde zaidi kufikiria kumnunua mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24. (Foot Mercato – In French)

Real Madrid bado wako kwenye mazungumzo na kiungo wa kati wa Croatia Luka Modric kuhusu kandarasi mpya ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37, ambaye amezivutia klabu za Saudi Arabia na Qatar. (Sky Sports Germany)

Tottenham hawana uwezekano wa kutumia chaguo la kumsajili kwa mkopo mlinzi wa kati wa Ufaransa Clement Lenglet, 27, kutoka Barcelona kabisa. (AS – In Spanish)

Kiungo wa kati wa zamani wa Uingereza James Milner, 37, atalazimika kukatwa mshahara iwapo atatia saini mkataba mpya na Liverpool. (Football Insider)

Wamiliki wa Wolves wako kwenye mazungumzo ya kununua hisa katika klabu ya Ubelgiji ya K.V. Oostende. (Guardian)

Meneja wa zamani Harry Redknapp anasema angependa kufanya kazi na Ryan Mason ikiwa atakuwa meneja wa Tottenham kwa muda. (Sports)

BBC

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
14h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’