Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Hemed Morocco, amesema maandalizi yanaendelea vizuri na wanamatumaini makubwa ya kufanya vizuri katika mchezo wa kutasaka nafasi ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2023 dhidi ya Uganda siku ya Ijumaa
..... download Xtra 90 App



