Arsenal

Arsenal kumkosa Tomiyasu mechi zilizobaki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Mar 2023
Arsenal kumkosa Tomiyasu mechi zilizobaki

Beki wa Arsenal Takehiro Tomiyasu atakosa mechi zilizosalia msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa jeraha la goti, klabu hiyo ya Ligi ya Premia imethibitisha.

Beki wa kulia wa Japan, Tomiyasu alitoka nje dakika tisa katika mchezo wa hatua ya 16 bora wa Ligi ya Europa kwa Arsenal dhidi ya Sporting ya Ureno baada ya kuteleza vibaya na kuumia goti

Arteta alionyesha wasiwasi wake punde tu baada yabeki huyo kuumia kwani mchezaji huyo wa kimataifa wa Japan mwenye umri wa miaka 24 'si mtu wa kutia chumvi mambo'

"Kufuatia kubadilishwa kwake wakati wa mechi ya Ligi ya Europa Alhamisi iliyopita, tathmini zilizofuata zimethibitisha kwamba Takehiro Tomiyasu alipata jeraha kubwa kwenye goti lake la kulia," Arsenal ilisema katika taarifa

"Tomi amefanyiwa upasuaji wa mafanikio London siku ya Jumanne na ataondolewa kwa muda uliosalia wa msimu huu."

Arsenal ilitupwa nje ya Ligi ya Europa kwa mikwaju ya penalti lakini bado ipo kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiwa na pointi nane mbele ya Manchester City, ambayo ina mechi moja mkononi.

Klabu hiyo ya London kaskazini pia ilimpoteza mlinzi William Saliba kutokana na jeraha la mgongo katika mchezo huo

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
29m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’