Sheikh Jassim awasilisha zabuni ya pili kuinunua Man United

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th March 2023


Sheikh Jassim awasilisha zabuni ya pili kuinunua Man United

Sheikh Jassim amewasilisha zabuni ya pili ya kuinunua Manchester United usiku wa kuamkia leo Jumamosi, kama ilivyotarajiwa

Sheikh Jassim Group wanaamini kuwa zabuni hiyo yenye uwekezaji mwingi ni bora zaidi kwa klabu, mashabiki na Jumuiya ya Manchester 

Sir Jim Ratcliffe INEOS group pia waliwasilisha zabuni yao iliyoboreshwa jana kama ilivyo kwa matajiri wengine ambao walijiunga katika mchakato wa kuinunua Manchester United

Kazi imebaki kwa Glazers kuamua hivi karibuni..


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.