Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan amenunua tiketi nyingine 7,000 baada ya awali kununua tiketi 2,000 wakati wa hamasa iliyoongozwa na Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo akishirikiana na Maafisa Habari wa Azam FC, Simba na Yanga.
..... download Xtra 90 App



