Transfer

Singida BS yamnyemelea Beno

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Mar 2023
Singida BS yamnyemelea Beno

Kikosi cha Singida Big Stars kinaendelea kujifua jijini Dodoma tayari kwa pambano lijalo la robo fainali kombe la FA dhidi ya Mbeya City litakalopigwa mjini Singida

Singida BS jana walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Dodoma Jiji na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika uwanja wa Jamhuri

Za ndani ni kuwa mabosi wa timu hiyo wameanza mipango ya kumng'oa kipa wa Simba Beno Kakolanya

Singida BS wameanza mazungumzo na kipa huyo ambaye mkataba wake unaelekea mwishoni kwa lengo la kumsajili aitumie kuanzia msimu ujao.

Mkataba wa Kakolanya na Simba unaisha mwishoni mwa msimu huu na hadi sasa inadaiwa hakuna makubaliano ya kusaini dili jipya licha ya mabosi wa Msimbazi kuzungumza naye hivi karibuni, hivyo kutoa nafasi kwa kipa huyo namba mbili ndani ya timu hiyo kutafuta changamoto mpya.

Singida BS wamekuwa na changamoto katika eneo lao la magolikipa sasa wakimtegemea Benedict Haule baada ya kumtoa kwa mkopo Metacha Mnata kunako klabu ya Yanga

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
29m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
41m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’