Katika kutoa hamasa na kuunga mkono timu Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', ambayo kesho Jumanne itashuka uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Uganda katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon 2023, Rais wa heshima Simba, Mohammed Dewji amenunua tiketi 5000
..... download Xtra 90 App



