Women

Majike-Dume marufuku mbio za Wanawake

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Mar 2023
Majike-Dume marufuku mbio za Wanawake

Wanawake waliobadili jinsia hawataruhusiwa tena kushindana katika mashindano ya mbio za wanawake bila kujali viwango vyao vya testosterone, rais wa Riadha wa Dunia Sebastian Coe amesema

Coe amesema hakuna mwanariadha aliyebadili jinsia ambaye amepitia balehe ya kiume ataruhusiwa kushiriki katika mashindano ya viwango vya dunia ya wanawake kuanzia Machi 31

Akizungumza baada ya mkutano wa chombo cha maamuzi cha shirikisho la riadha duniani, Coe alisema riadha duniani imeshauriana na wadau yakiwemo mashirikisho 40 ya kitaifa, kamati ya kimataifa ya Olimpiki na makundi ya kimataifa kuhusu suala la wanariadha waliobadili jinsia

"Wengi wa walioshauriwa walisema kuwa wanariadha waliobadili jinsia hawafai kushindana katika michezo ya wanawake," alisema

"Wengi wanaamini kuwa hakuna ushahidi wa kutosha kwamba wanaume waliojibadili kuwa wanawake wana sifa sawa na wanawake wa kibaolojia. Uamuzi tuliochukua naamini ni kwa masilahi bora ya mchezo wetu"

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
29m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’