Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam

Stars hoi mbele ya Uganda

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Mar 2023
Stars hoi mbele ya Uganda

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeshindwa kutumia vyema uwanja wa nyumbani baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Afcon 2023

Rodgers Mato ndiye aliyewapa Watanzania machungu leo akifunga bao katika dakika ya 90 baada ya Uganda kufanya shambulizi ya kushitukiza

Stars ilihitaji ushindi au hata alama moja ili kujiweka katika nafasi ya kufuzu lakini matokeo hayo yamefanya timu zote ziwe na nafasi

Stars imeendelea kusalia nafasi ya pili ikiwa na alama nne sawa na Uganda timu hizo zikiwa na uwiano sawa wa mabao ya kufunga na kufungwa

Niger inashika nafasi ya mwisho kundi F ikiwa na alama mbili wakati Algeria tayari imefuzu ikiongoza kundi F ikiwa na alama 12

Mchezo utakaofuata kwa Tanzania ni dhidi ya Niger, utapigwa Juni 2023 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
8h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
12h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
15h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
16h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
17h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
18h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
19h ago
READ MORE β†’