Kiungo wa kati wa West Ham Declan Rice, 24, ndiye mchezaji anayesakwa zaidi na Arsenal msimu huu wa joto na kuna imani inayoongezeka kuwa wanaweza kufanikiwa kiwashinda Chelsea, Manchester City na Manchester United ili kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza. (Evening Standard)
..... download Xtra 90 App



