Erling Haaland hakuwepo kwenye mazoezi ya Manchester City siku ya Alhamisi. Mshambulizi huyo wa Norway amekuwa katika kiwango kizuri kwa City msimu huu, akifunga mabao 42 katika mechi 37 pekee tangu atue kutoka Borussia Dortmund
..... download Xtra 90 App



