Huku ikiwa na tiketi ya kucheza robo fainali mkononi, Simba imepanga kucheza kwa kiwango cha juu katika mechi yake ya kukamilisha ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Raja Casablanca itakayochezwa usiku wa leo kwenye Uwanja wa Mohammed V nchini Morocco
..... download Xtra 90 App



