Manchester City - Liverpool

Manchester City yaichapa Liverpool 4-1

Joel JJ By Joel JJ
1 Apr 2023
Manchester City yaichapa Liverpool 4-1

Manchester City imeweka hai matumaini katika mbio za kuwania ubingwa wa Premia baada ya kuichapa Liverpool mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Etihad

Meneja wa Manchester City Pep Guardiola alijua ni lazima ashinde mechi hiyo City waliingia dimbani wakiwa nyuma kwa tofauti ya alama nane dhidi ya vinara wa ligi Arsenal

Liverpool walitangulia kufunga bao la kuongoza kupitia kwa Mohamed Salah wakati Diogo Jota alipovunja mtego wa kuotea kabla ya kumtengenezea Salah kuuweka mpira kimiani.

City walirudi na moto na haikuchukua muda kabla ya kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Julian Alvarez baada ya pasi murua kutoka kwa Jack Grealish

Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Kevin de Bruyne, Grealish na Ilkay Gundogan wakihakikisha wanarejea kwenye mbio za ubingwa sasa wakitofautiana na Arsenal alama tano kabla ya mechi ambayo Arsenal wanakabiliana na Leeds United

Ni moja ya siku mbaya kwa Liverpool katika ligi kuu ya Premia msimu huu kwani ukiondoa bao walilofunga, hawakuwa na hatari yoyote kwenye lango la Man City

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
58m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
2h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
2h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →