Arsenal - Leeds

Jesus arejea na magoli Arsenal

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Apr 2023
Jesus arejea na magoli Arsenal

Gabriel Jesus alimaliza ukame wake wa mabao wa miezi sita akifunga mara mbili katika ushindi wa 4-1 wa Arsenal dhidi ya Leeds huko Emirates.

Mshambulizi huyo wa Brazil alikuwa anaanza kwa mara ya kwanza Ligi Kuu ya Uingereza 2023 baada ya kupona kutokana na upasuaji wa goti.

Akianza kikosini nafasi ya Bukayo Saka ambaye ni mgonjwa, Jesus alilipa imani ya Mikel Arteta kumwanzisha

Na ni mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 aliyefungua ukurasa wa mabao kaskazini mwa London, huku Arsenal wakitangulia katika dakika ya 35

Jesus alishinda penalti baada ya kukatwa na beki wa kulia wa zamani wa akademi ya Gunners Luke Ayling na mwenyewe kufunga mkwaju huo wa penati

Lilikuwa ni bao lake la kwanza tangu kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wapinzani wao Tottenham mnamo Oktoba 1 miezi sita iliyopita

Ben White akaiongezea Arsenal bao la pili kabla ya Jesus kuongeza jingine la tatu na Grait Xhaka kuhitimisha bao la nne. Bao pekee la kufutia machozi kwa Leeds lilifungwa na Rasmus Krintensen

Ushindi huo umerejesha gap la pointi baina yake na Manchester City kuwa nane, Arsenal ikiwa imecheza mechi moja zaidi

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
24m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’