Yanga

Yanga yaizamisha TP Mazembe Lubumbashi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Apr 2023
Yanga yaizamisha TP Mazembe Lubumbashi

Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya TP Mazembe katika mchezo wa kombe la Shirikisho uliopigwa uwanja wa TP Mazembe huko Lubumbashi, DR Congo

Bao la Farid Mussa lililopatikana kwenye kipindi cha pili lilitosha kuihakikishia Yanga ushindi huo muhimu ambao unaweza kuwahakikishia kumaliza vinara wa kundi D

Krosi ya Jesus Moloko ilimshinda mlinda lango wa Mazembe kabla ya kuangukia mguuni kwa Farid aliyeujaza mpira kimiani kwa mguu wake wa kulia

Ilikuwa mechi ngumu iliyopigwa katika uwanja wa nyasi bandia ambao kwa kiasi kikubwa uliwapa wakati mgumu wachezaji wa Yanga huku wenyeji wakitawala

Yanga imefikisha alama 13 wakati US Monastir wana alama 10 wakitarajiwa kucheza na Real Bamako saa 4 usiku

Ili kuishusha Yanga kileleni, Monastir watahitaji kushinda kuanzia mabao matatu

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’