PSG - International

Messi aipa masharti PSG

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Apr 2023
Messi aipa masharti PSG

Lionel Messi hatasaini kandarasi mpya katika klabu ya PSG hadi atakapofahamu mipango yao kwa msimu ujao na ana imani kuwa wanaweza kushindania Champions League

Messi amehitaji kuelewa mkakati wao wa soko la usajili la majira ya kiangazi, iwapo Christophe Galtier ataendelea kuwa meneja msimu ujao au ni nani atakayechukua nafasi yake, pamoja na maelezo mengine ya kiufundi kama vile Luis Campos ataendelea kuwa mkurugenzi wa michezo.

Kimsingi, Messi mwenye umri wa miaka 35 anataka kuwa na uhakika wa kuwa na timu ya ushindani kujaribu kushinda Ligi ya Mabingwa mwakani katika ambayo itakuwa moja ya misimu yake ya mwisho barani Ulaya

Messi ana ofa kutoka klabu mbalimbali akiwa pia anahusishwa na waajiri wake wa zamani Fc Barcelona

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’