Simba - Local

Simba yaangukia kwa Wydad robo fainali Ligi ya Mabingwa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Apr 2023
Simba yaangukia kwa Wydad robo fainali Ligi ya Mabingwa

Droo ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika imefanyika leo huko Misri ambapo Simba imepangwa kuchuana na mabingwa watetezi Wydad Athletic

Itakuwa mechi ya kibabe ambapo mechi ya kwanza itapigwa dimba la Benjamin Mkapa April 21-23 na marudiano kupigwa Morocco April 28-30

Kama Simba itafanikiwa kutinga nusu fainali, itachuana na mshindi wa mchezo kati ya CR Belouizdad dhidi ya Mamelodi Sundowns

RATIBA KAMILI

Simba vs Wydad Casablanca - QF1

Al Ahly vs Raja Casablanca - QF2

CR Belouizdad vs Mamelodi Sundown - QF3

JS Kabylie - Esperance - QF4

SEMI FANAL

QF4 vs QF2 - SF1

QF1 vs QF3 - SF2

FINAL

SF1 vs SF2

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
25m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’