Simba - Local

Simba yaifumua Ihefu Fc 5-1, robo fainali ASFC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Apr 2023
Simba yaifumua Ihefu Fc 5-1, robo fainali ASFC

Mnyama Simba ameunguruma uwanja wa Azam Complex Chamazi, akiibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu Fc katika mchezo wa robo fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)

Simba ilihitaji dakika 45 tu kumaliza mchezo wakipachika mabao manne huku mshambuliaji Jean Baleke akiendeleza kasi yake ya kuzifumania nyavu akiondoka na mpira baada ya kufunga hat-trik

Baleke sasa amefunga mabao 12 katika mechi tano zilizopita akiwa na wastani wa kufunga zaidi ya mabao mawili katika kila mchezo

Saido Ntibazonkiza naye akaingia kambani akiweka bao la nne huku Pape Ousmane Sakho akiweka bao la tano kwenye dakika za majeruhi

Ihefu Fc walifunga bao lao la kufutia machozi kupitia kwa Raphael Daudi

Simba sasa imetinga nusu fainali ya michuano hiyo ambapo itachuana na Azam Fc katika mchezo utakaopigwa Nangwanda Sijaona, mkoani Mtwara

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’