Napoli wanakaribia kutwaa taji lao la kwanza la Serie A ndani ya miaka 33 baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Lecce uliowafanya waongoze ligi kwa pointi 19 dhidi ya Lazio inayoshika nafasi ya pili.
Bao la kichwa la Giovanni di Lorenzo lilianza kuifungia Napoli kabla ya Federico di Francesco kusawazisha baada ya mapumziko.
Lakini Napoli walipata bao la kujifunga wakati beki Antonino Gallo pasi yale ya kifua kuteleza katika mikono ya kipa Wladimiro Falcone
Napoli wametokea kupokea kipigo kizito cha mabao 4-0 Jumapili iliyopita dhidi ya AC Milan
Napoli inaongoza Serie A ikiwa na alama 74 baada ya mechi 29 ikifuatiwa na Lazio yenye alama 55 baada ya mechi 28



