Prisons - Ruvu - Mbeya - Namungo - Dodoma - Coastal - Local

Ligi Kuu NBC inaendelea leo April 09

Joel JJ By Joel JJ
9 Apr 2023
Ligi Kuu NBC inaendelea leo April 09

Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo vita kubwa ikiwa chini ya msimamo wa ligi

Tanzania Prisons wakiwa nafasi ya 14 katika msimamo wa ligi watakuwa uwanja wa Sokoine wakiwakaribisha Ruvu Shooting ambao wapo nafasi ya 15

Dodoma Jiji akiwa nafasi ya 11 kuwakaribisha Coastal Union ambao wapo nafasi ya 13. Kila timu inataka alama tatu ili kuendelea kuweka uhai wa kubaki Ligi Kuu

Saa tatu siku Namungo Fc itachuana na Mbeya City katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Majaliwa

More Stories

Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
38m ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
2h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
2h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
4h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
4h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
4h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
4h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
4h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
6h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
16h ago
READ MORE →