Baada ya droo ya robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo wakipangwa kukipiga na Rivers United katika hatua ya robo fainali, Meneja wa Rivers United, Stanley Eguma ametamba kuwa timu yake inafikiria kucheza fainali ya michuano hiyo
..... download Xtra 90 App



